NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE. DAVID SILINDE (Mb) KATIKA PICHA YA PAMOJA NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI TANZANIA MHE. GHALIB ZERMANE
WAZIRI WA KILIMO MHE. DANIEL CHONGOLO (Mb), AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI WA WIZARA NA WAKURUGENZI WA TAASISI ZA WIZARA YA KILIMO.
Matokeo ya zao la maharage yaliyotumia mbolea ya kupandia DAP na mbolea ya kukuzia UREA yanaonesha mafanikio makubwa katika ukuaji wa mimea, ongezeko la mavuno, na ubora wa mazao.
Matokeo ya tumbaku iliyotumia NPK 10:18:24 yanaonesha ukuaji bora, majani yenye afya, na ongezeko la uzalishaji; matumizi sahihi yameboresha ubora na tija.
Mbolea zikiwa zimehifadhiwa katika ghala la TFC Makambako, Njombe, tayari kwa kusambazwa kwa wakulima ili kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakati na kuongeza tija ya kilimo.
BW. SAMUEL MSHOTE, MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA MBOLEA (TFC), PAMOJA NA BW. LAMECK BOREGA, MKURUGENZI WA UENDESHAJI BIASHARA (TFC), KATIKA MAPOKEZI YA MELI ILIYOBEBA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO AINA YA DAP
MELI ILIYOBEBA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO AINA YA DI AMMONIA PHOSPHATE IKIWA BANDARI YA DAR ES SALAAM IKIPAKUA MBOLEA