Matokeo ya zao la maharage yaliyotumia mbolea ya kupandia DAP na mbolea ya kukuzia UREA yanaonesha mafanikio makubwa katika ukuaji wa mimea, ongezeko la mavuno, na ubora wa mazao.
Matokeo ya tumbaku iliyotumia NPK 10:18:24 yanaonesha ukuaji bora, majani yenye afya, na ongezeko la uzalishaji; matumizi sahihi yameboresha ubora na tija.
Mbolea zikiwa zimehifadhiwa katika ghala la TFC Makambako, Njombe, tayari kwa kusambazwa kwa wakulima ili kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakati na kuongeza tija ya kilimo.
Matokeo ya Mashamba ya wanufaika wa mradi wa Tanzania Food Systems Resilience Programme (TFSRP), waliotumia chokaa mazao na mbolea za kupandia na kukuzia
MHE. CHONGOLO, MHE. GAVANA WA MANIEMA, NA TFC WAJADILI BIASHARA YA KILIMO TANZANIA-DRC
BW. SAMUEL MSHOTE, MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA MBOLEA (TFC), PAMOJA NA BW. LAMECK BOREGA, MKURUGENZI WA UENDESHAJI BIASHARA (TFC), KATIKA MAPOKEZI YA MELI ILIYOBEBA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO AINA YA DAP
BW. LAMECK BOLEGA, MKURUGENZI WA UENDESHAJI NA BIASHARA WA TFC, AKISIMAMIA UPOKEAJI NA USAMBAZAJI WA MBOLEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.
Wakulima, Wilayani Babati wakipewa mafunzo ya matumizi sahihi ya mbolea na Afisa wa TFC, Kanda ya Kaskazini.
MELI ILIYOBEBA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO AINA YA DI AMMONIA PHOSPHATE IKIWA BANDARI YA DAR ES SALAAM IKIPAKUA MBOLEA