Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

Kuuza Mbolea

Kuagiza mbolea za DAP na UREA jumla tani 25,000 ambazo zimepokelewa jumla ya tani 25,000 na kusambazwa mikoani.
TFC imeuza hadi sasa tani 10,866.15 za DAP na tani 5,857.50 za UREA katika mikoa ya Singida, Manyara, Pwani, Njombe, Iringa, Rukwa, Mbeya, Katavi,Tabora, Mwanza, Kigoma, Dodoma, Songwe, Arusha, Kilimanjaro, Kagera, Simiyu, Pwani, Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Tanga na Mara,na kunufaisha wakulima zaidi ya 56,000 hadi sasa.
Kutangaza zabuni ya jumla ya tani 50,000 ya mbolea za CAN, SA, DAP na UREA ambazo zinatarajia kuingia mwezi Desemba, 2023.
Kununua eneo la hekta 10- Kata ya Kwala-Kibaha Vijijini mkoa wa Pwani ili ya kuweka kiwanda cha uchanganyaji wa mbolea; Eneo limeshanunuliwa kwa mapato ya TFC. Taratibu za kukamilisha hati ya umiliki zinaendelea.