MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANENANE, 2026
Imewekwa: 03 August, 2026
Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) inashiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Nanenane yanayofanyika kanda ya Kati, Kanda ya kaskazini, Kanda ya kusini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Kaskazini

