UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA MAUZIANO YA MBOLEA ZA NPK 10:18:24, UREA NA CAN
ZIARA YA KUTEMBELEA KIWANDA CHA UNITED CAPITAL FERTILIZER LTD, NCHINI ZAMBIA
MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA MBOLEA TANZANIA BW. SAMUEL MSHOTE (WA KWANZA KULIA) AKIELEZA UTEKELEZAJI NA MIKAKATI YA KAMPUNI YA MBOLEA TANZANIA (TFC) KATIKA KIPINDI CHA CLOUDS 360
Mbolea ya kupandia ya DAP ikiandiliwa kwaajili ya kwenda kusambazwa kwa wakulima
Mbolea ya kupandia ya DAP ikiwa tayari kusafirishwa na kusambazwa kwa wakulima
Shamba la Mahindi, lililotumia mbolea ya kupandia ya DAP, lililopo Mkoani Moshi
Shamba la zao la Tumbaku, Mkoani Tabora, lililotumia mbolea ya NPK 10:18:24 wakati wa kupanda na mbolea CAN na UREA kwaajili ya kukuzia mazao
Zao la Alizeti, lililotumia mbolea ya kupandia ya DAP