Accessibility Settings

Text Size

Color Contrast

Language

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

/ News

Mbolea za TFC kwa Mazao Bora na Tija

Imewekwa: 03 February, 2026
Mbolea za TFC kwa Mazao Bora na Tija

Mkulima Bw. Amosi Songoro, wa Kijiji cha Ulumi, Wilaya ya Kalambo, ametumia mbolea za TFC: Di Ammonia Phosphate na UREA N 46%, kupata mazao yenye tija. Wakulima wanahimizwa kujisajili katika mfumo wa pembejeo za ruzuku ili kunufaika na Mbolea za Serikali.