Matokeo ya Mashamba ya wanufaika wa mradi wa Tanzania Food Systems Resilience Programme (TFSRP), waliotumia chokaa mazao na mbolea za kupandia na kukuzia
Imewekwa: 25 March, 2026
Ufuatiliaji wa mashamba ya wanufaika wa TFSRP unaonesha kuwa matumizi ya chokaa na mbolea za kupandia na kukuzia mazao yamechangia kuboresha rutuba ya udongo, kuimarisha ukuaji wa mazao na kuongeza mavuno kwa wakulima.

