Accessibility Settings

Text Size

Color Contrast

Language

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

/ News

USAMBAZAJI WA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO DAP TANI 33,000

Imewekwa: 31 August, 2026
USAMBAZAJI WA MBOLEA YA KUPANDIA MAZAO DAP TANI 33,000

Kuelekea msimu wa kilimo 2026/2027, mbolea ya kupandia mazao aina ya Di Ammonia Phosphate (DAP) inaendelea kusambazwa katika maghala yaliyopo kanda ya Mbeya, Makambako, Sumbawanga, Tabora, Mwanza, Arusha na Songea.

Pia mbolea hiyo imesambazwa katika vituo vya Mauzo vyaTFC vilivyopo Mkoa wa Morogoro, Manyara, Kilimanjaro, Tunduru, Kasulu, Tarime, Kibaigwa, Shinyanga, Geita na  Kahama.

Mbolea hii itauzwa kwa bei ya ruzuku hivyo wakulima wote mnakumbushwa kuhuisha taarifa zenu na kujisajiri katika mfumo wa pembejeo za ruzuku.

slot gacor