Accessibility Settings

Text Size

Color Contrast

Language

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

/ News

Usambazaji wa Mbolea ya DAP Mkoa wa Rukwa

Imewekwa: 03 February, 2026
Usambazaji wa Mbolea ya DAP Mkoa wa Rukwa

Mapokezi na usambazaji wa mbolea ya DAP yanaendelea katika Mkoa wa Rukwa, Manispaa ya Sumbawanga, kwa ajili ya wakulima wanaojiandaa kupanda mazao mbalimbali. Wakulima wanahimizwa kutumia mbolea kwa usahihi ili kuongeza rutuba ya udongo na tija ya uzalishaji.