MAPOKEZI YA MBOLEA YA DAP MKOA WA KILIMANJARO
01 September, 2026 - 30 December, 2026
DAR ES SALAAM
barua@fertilizer.co.tz
Kuelekea msimu wa kilimo 2026/2027, mbolea ya kupandia mazao aina ya Di Ammonia Phosphate imewasili katika ghala la Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), lililopo Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro tayari kuanza kusambazwa kwa wakulima kwa bei ya ruzuku.

