Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

Shehena Mpya ya Mbolea ya UREA

24 Feb, 2024

Meli ya MV Huayung Spirit kutoka Falme za Kiarabu imetia nanga leo katika bandari ya Dar es Salaam kwaajili ya kushusha Mbolea mpya ya UREA