Accessibility Settings

Text Size

Color Contrast

Language

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania

/ News

TFC IKITOA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI BORA YA PEMBEJEO KATIKA KATA YA BUKENE WILAYA YA NZEGA

Imewekwa: 13 December, 2025
TFC IKITOA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI BORA YA PEMBEJEO KATIKA KATA YA BUKENE WILAYA YA NZEGA

Uhamasishaji wa Matumizi Bora ya Pembejeo ukiendelea katika Kata ya Bukene Wilayani Nzega, ambapo Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), iliweza kuwaelimisha Wakulima juu ya Matumizi Bora ya Mbolea kwa kufuata hatua stahiki kuanzia mbolea ya Kupandia, Kukuzi ana Kubebeshea.